Huyu Hapa Mrithi wa DC Henry Ng’umbi Wilaya ya Longido

Admin Updates9 months ago7 Views

 Huyu Hapa Mrithi wa Ng'umbi Wilaya ya Longido

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Salum Kali kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, akichukua nafasi ya Marko Ng’umbi ambaye jana Jumapili Septemba mosi, 2024 uteuzi wake ulitenguliwa.

Kabla ya uteuzi huo, Kali alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma. Uteuzi huo umefanyika leo Jumatatu Septemba 2, 2024.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...