HABARI PICHA:Waziri Jerry Silaa na Diwani Masaburi wakikimbiza Mwenge wa Uhuru Jimboni Ukonga leo

Admin Updates1 year ago5 Views

 

Mbunge wa Ukonga na Waziri wa Ardhi Mhe.Jerry Silaa akiwa na Diwani wa Kata ya Chanika na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mhe. Ojambi Masaburi Mapema leo walivyoupokea na Kuukimbiza Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 ambapo Mwenge  Huo  umeingia Wilaya ya Ialala na kuzindua Miradi Mbalimbali ya Maendeleo jimboni Ukonga.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...