Fei Toto Kurejea Jangwani, Yanga Tumbo Joto….Mastaa Matatani

Admin Updates1 month ago20 Views

 Fei Toto Kurejea Jangwani, Yanga Tumbo Joto....Mastaa Matatani

Yao kouassi, maarufu kama jeshi alianza kupona lakini inaelezwa amepata majanga mengine eneo alioumia linaweza

kukaa njee kwa muda zaidi.

Yanga ina subiri repoti ya madaktari wa klabu ilikufahamu mchezaji huyo atakua nje kwa muda gani, lakini nyuma yake kuna hesabu mpya zina pigwa juu ya beki mmoja wakazi kutoka Tp mazembe DRCongo.

Endapo yao atashindwa kurudi licha ya kuonekana amacheza mpira mazoezini, Yanga ita mshusha beki Ibrahim Keita,raia wa Mauritania.

Mbali na Keita wapo nyota wengine kwenye rada za yanga Josaphet Auther kutoka (Singida black stars), Koimizo Maiga ( Asec meimosa, Douh Steve (Ken Gold) na Feisal Salum (Azam).

Pale Tp mazembe Keita amesha waaga maboss wa club ya team hiyo na kuwa gomea kuongeza mkataba ambao una malizika mwezi ujao huku yanga ma Kaizer chiefs inayo fundishwa na Nabi zikiwa zina mvizia huduma yake kwajili ya msimu ujao

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.