DIAMOND PLATINUMS AKUTANA USO KWA USO NA OMMY DIMPOZ

Admin Updates10 years ago8 Views

Screen-Shot-2014-05-19-at-8.14.04-AMKumekuwa na tetesi.. story za mitandaoni ni kwamba msanii Diamond Platnumzhayuko kwenye maelewano mazuri na rafiki yake msanii Ommy Dimpoz, lakini wote wakiulizwa wanakataa kwamba hakuna ukweli wowote.
Soudy Brown akafikishiwa story nyingine kwamba mastaa hao walikutana lakini hawakusalimiana, huku wengine wakisema kwamba Mwasiti amejaribu kuwapatanisha lakini ilishindikana.
Soudy alimtafuta Dimpoz na kumuuliza ishu hiyo, jamaa kasema alikuwa hajui kamaDiamond alikuwa eneo hilo na kama angemuona lazima wangeongea… hawana ugomvi wowote kwa hiyo ishu ya Mwasiti kuwapatanisha haipo.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...