
Naibu Waziri Wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mikumi kupitia CCM Mhe.DENNIS LONDO(MB) ameomba nafasi hiyo kwa mara nyingine ya Ubunge Jimbo La ππππππ huku akielezea sababu kubwa ya yeye kuomba tena nafasi hiyo ni ili kuhakikisha ndoto za wana Mikumi zinatimizwa kupitia yeye kwani zaidi ya 90% yaliyopo kwenye Ilani ya CCm ambayo ndiyo waiyomtuma tangu 2020 alipochanguliwa mara ya kwanza hadi 2025 serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Mhe.Rais Samia imetimiza.
Londo ambaye ni msomi na mbobezi katika masuala mbalimbali amesema ametiwa moyo na hatua ya wananchi wengi wa mikumi kumtaka achukue fomu hiyo kwani kwa sasa wana mini yeye ndiye mtu sahihi kwani kwa muda wa miaka mitano kazi kubwa ya kuwaletea maendeleo jimboni kwao
Masama Blog Inamtakia kΔ±la la heri Ndg.Dennis Londo katika hatua za swai kuelekea uchaguzi mkuu 2025.






