Clatous Chama Ajiunga Rasmi Singida Black Stars

Masama BlogMICHEZO7 months ago317 Views

Clatous Chama Ajiunga Rasmi Singida Black Stars
🚨 DEAL DONE βœ…

Nyota wa Kimataifa wa Zambia aliyewahi Kuzitumikia Simba na Yanga Clatous Chama Amejiunga Rasmi na Klabu ya Singida Black Stars Kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja Kama Mchezaji Huru Baada ya Kuachana na Young Africans Msimu Uliomalizika.

Kila kitu Kimekamilika na Singida Black Stars Wanatarajia kumtangaza Chama kama Mchezaji Muda wowote kuanzia sasa.

RC Senyamule aelekeza Vikundi zaidi ya 300 Jijini Dodoma Vipewe mikopo Tsh Bilioni 3.6

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.