Dkt.Mwigulu Nchemba ndiye Waziri Mkuu mpya Tanzania
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dk Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu. Jina la Dk Mwigulu limewasilishwa bungeni saa 3:06 asubuhi leo Alhamisi, Novemba 13, 2025 na mpambe wa Rais kwa Spika wa Bunge, Mussa Zungu, kisha kusomwa kwa wabunge ambao watamthibitisha kwa kura.
Dk Mwigulu ambaye ni Mbunge wa Iramba Magharibi Mkoa wa Singida akipitishwa anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Kassim Majaliwa ambaye ametumikia nafasi hiyo kwa miaka kumi mfululizo, kuanzia mwaka 2015 hadi 2025.
Uhamiaji Yatoa Kauli Rasmi Kuhusu Safari ya John Heche
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






