Idara ya Uhamiaji nchini imetoa taarifa ikieleza kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Wegesa Heche, alondoka nchini kupitia mpaka wa Sirari, wilayani Tarime, bila kufuata taratibu na kanuni za uhamiaji.
Taarifa ya Idara hiyo imesema tukio hilo lilitokea katika Kituo cha Uhamiaji cha Sirari, mkoani Mara, ambapo Heche alivuka mpaka na kuingia nchini Kenya kinyume na masharti ya Sheria ya Uhamiaji Sura ya 54.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Wegesa Heche
“Idara ya Uhamiaji inapenda kuujulisha umma kuwa katika Kituo cha Uhamiaji cha Mpaka wa Sirari mkoani Mara, Mheshimiwa John Wegesa Heche, ameondoka nchini kwa kuvuka mpaka na kuingia nchi jirani bila kufuata taratibu na kanuni za uhamiaji zilizoundwa chini ya Sheria ya Uhamiaji Sura ya 54” imeeleza taarifa hiyo.
Idara hiyo imetoa wito kwa Watanzania na wageni wanaotoka au kuingia nchini kuhakikisha wanafuata taratibu zote za kisheria zinazohusu uingiaji, ukaaji na utokaji wa watu nchini, ili kuepuka kuchukuliwa hatua za kisheria.

Zuchu Awaandikia Barua Kali CHAN kuhusu show yake Kenya
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






