Bodi ya Ligi Kuu imeipongeza Yanga kwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya NBC 2022/2023

Admin Updates2 years ago7 Views

 

Bodi ya Ligi Kuu imeipongeza klabu ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya NBC kwa msimu wa 2022/23
Yanga imetwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Dodoma Jiji mabao 4-2 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex na kufikisha alama 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote kwenye ligi
Ni msimu wa pili mfululizo Yanga inafanikiwa kutwaa ubingwa

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...