Timu ya Azam FC leo inashuka dimbani kwenye kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC)
kuwakabili Rhino Rangers.
Utakumbuka katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL), Azam FC alikubali kipigo cha goli 3-1 kutoka kwa Simba SC.
Azam FC wanashuka dimbani leo majira ya saa moja usiku kwenye uwanja wao wa nyumbani, Chamanzi Complex kwa mara ya kwanza bila kocha wao Hans Van Der Pluijm aliyefurushwa kazi hivi karibuni.
from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2SWcJIp
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







