Amber Lulu Aanika Utajiri wake

7 years ago111 Views

Amber Lulu Aanika Utajiri wake

Mrembo kutoka kiwanda cha Bongo fleva, Amber Lulu ameweka wazi kuwa ana pesa ambayo iko kwenye akaunti yake, pesa ambayo haitokani na mziki bali mishe zake za kimaisha.Amber Lulu anaamua kufunguka baada ya kuona kuwa

Akizungumza na mwandishi wa habari Lulu amesema “kwenye akaunti yangu kuna zaidi ya million 10 ambayo aitokani na mziki watu wajue hivyo”

Itakumbukwa kuwa Amber Lulu alianzia kwenye kuuza sura kwenye video za mastaa hapa bongo yaani (video vixen) na hatimae akaingia kwenye gemu ya mziki na ameshatamba na vibao vyake kama ‘Watakoma’ ‘Jini Kisirani na vingine kibao

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2QSW56z
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.