Mrembo kutoka kiwanda cha Bongo fleva, Amber Lulu ameweka wazi kuwa ana pesa ambayo iko kwenye akaunti yake, pesa ambayo haitokani na mziki bali mishe zake za kimaisha.Amber Lulu anaamua kufunguka baada ya kuona kuwa
Akizungumza na mwandishi wa habari Lulu amesema “kwenye akaunti yangu kuna zaidi ya million 10 ambayo aitokani na mziki watu wajue hivyo”
Itakumbukwa kuwa Amber Lulu alianzia kwenye kuuza sura kwenye video za mastaa hapa bongo yaani (video vixen) na hatimae akaingia kwenye gemu ya mziki na ameshatamba na vibao vyake kama ‘Watakoma’ ‘Jini Kisirani na vingine kibao
from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2QSW56z
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







