Benki ya DCB yaibuka kidedea tuzo za NBAA

6 years ago60 Views

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shaban (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya mshindi wa kwanza katika kitengo cha mabenki madogo na ya kati ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) kwa Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Nelson Swai katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kulia kabisa ni Mkaguzi wa Hesabu za Ndani wa DCB, Samwel Stephano.
Mkaguzi wa Hesabu za Ndani wa Benki ya Biashara ya DCB, Samwel Stephano (kulia) akionyesha tuzo ya mshindi wa kwanza katika kitengo cha mabenki madogo na ya kati ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) mara baada ya kukabiodhiwa katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa DCB, Nelson Swai.

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/36j4f0k
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.