Familia zaidi ya 20 katika mtaa wa Mkunguni A kata ya Hananasifu katika manispaa ya Kinondoni
Familia zaidi ya 20 katika mtaa wa Mkunguni A kata ya Hananasifu katika manispaa ya Kinondoni nyumba zao zimeingiliwa na maji kufuatia mvua iliyonyesha leo na hivyo kulazimu familia hizo kuishi maisha ya hofu kutokana na usalama wa maisha yao kuwa hatarini.
Wakizungumza nasi, familia hizo zimesema hali hiyo imewasababishia kushindwa kutoka kwenda kwenye shughuli zao za kiuchumi na hivyo kutumia muda mwingi kuchota maji yaliyoingia ndani ya nyumba zao na kuyamwaga nje huku wakieleza vyombo pamoja na vitanda vimesombwa na maji
Kwa upande wake Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo wa Mkunguni A Jumanne Said ameiomba serikali kuharakisha zoezi la kuwalipa fidia wananchi hao kwani walishafanyiwa tathimini na kutakiwa kuondoka
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







