Mwimbaji @harmonize_tz ni kama amemkingia kifua @diamondplatnumz kutokana na shutma zilizozuka za ku-copy baadhi ya nyimbo za wasanii wa Nigeria na vita ya kimuziki inayoendelea kwa sasa kwenye game ya Bongo.
Barua ya wazi ya Harmonize inasema, “Sina chochote cha ku-prove ndani ya nchi yangu, sina hizo nguvu za kupigana na ndugu zangu wa damu”.
Teacher Konde akaendelea kusisitiza muungano baina yao kwani ana amini kunaweza fanyika kitu kikubwa zaidi.
“Tujifunze kwa majirani zetu Wanigeria. Mambo ya kuvunjana Moyo kuchambana, kuchekana huyu kakosea huyu hajapatia, tunaoneshana mapungufu na kujishusha wenyewe”.
Usiku wa kuamkia leo baadhi ya pages maarufu nchini Nigeria zimefichua ngoma kadhaa ambazo msanii huyo wa Bongo Fleva anadaiwa kuzi-copy. Kitendo kilichopokea ukosoaji mkubwa kutoka kwa wasanii na baadhi ya wadau wa muziki nchini.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







