Benson Kigaila: Si Lazima Mbowe Kwenda Mahakamani
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila ameeleza kuwa si lazima kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kushiriki vikao vya CHADEMA kwasababu yeye ni mwanachama wa kawaida.
Akizungumza na Wilberforce Ngoto @wilberforcengoto8218 wa kipindi cha Maswali na Majibu kinachorushwa na Jambo TV, Kigaila amesema kuwa mwanachama wa kawaida wa CHADEMA hushiriki mkutano mkuu wa tawi kwenye tawi lake.
Aidha ameeleza kuwa Mbowe amekuwa akifanya mambo kwa ajili ya CHADEMA bila kujionesha ikiwamo kuwasiliana na kumuona Mwenyekiti wa chama hicho taifa Tundu Lissu gerezani, likiwa ni jibu kwa baadhi ya Watanzania ambao wamekuwa wakihoji kutoonekana kwa Mbowe katika viunga vya mahakama kufuatilia kesi zinazomhusu Lissu na CHADEMA.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






