Azam FC wavunja Ukimya,Wampa FeiToto Mkataba Mpya huu Mnono
Azam wameshawasilisha mkataba mpya wa kufuru wa miaka 3 ‘Bumper Contract’ kwa kiungo wao Feisal Salum.
Mshahara, Milioni 70 kwa mwezi (Milioni 50 take home, Milioni 20 NSSF)
Signing-Fee, Dollar 200,000 kila mwaka kwa muda wa miaka 3 (Jumla Dola 600,000)
Ubalozi kwenye Makampuni ya Azam, ambapo atapokea Milioni 200 kila mwaka.
Nyumba Masaki na Gari mpya.
Package yote hiyo kwa muda wa miaka 3 inafika Shilingi Bilioni 5
Anasubiriwa Feisal tu kufanya maamuzi juu ya Contract Proposal hiyo na uwezekano wa kuusaini mkataba huo ni mkubwa.
Imeandikwa Haatimabdul mchambuzi kutoka WASAFI MEDIA
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






