KUNA NINI KATI YAO? ALIKIBA & JOKATE MWEGELO LIVE SASA ….JIONEE MWENYEWE

Admin Updates10 years ago6 Views



Kuna tetesi zinavuna kuwa Jokate Mwegelo na Alikiba ni wapenzi!

Tetesi hizo zimekuwepo kwa muda sasa japo wawili hao bado hawajaweza kuthibitisha muungano wao.

Mtangazaji namba moja kwa udaku nchini, Soudy Brown wa Clouds FM
alijaribu kumtafuta Jokate kutaka kutegua kitendawili hicho lakini kama
ilivyotarajiwa, Jokate aliishia kuangua kicheko tu na kutotoa jibu.

Wafuatiliaji wa mambo wameenda mbali zaidi na kudai kuwa wawili hao
wamekuwa wakionekana pamoja kwenye sehemu kadhaa ikiwemo nyumbani kwa
Alikiba.

Wengine wamefuatilia baadhi ya picha zao mitandao ya kijamii na kugundua kuwa Jokate amewahi kuivaa kofia ya mkeka ya Alikiba!

Bongo5 binafsi haijaweza kuthibitisha uwepo wa uhusiano huo.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.