SHUHUDIA MAFURIKO YA DK JOHN MAGUFULI HUKO KWA MHE.SITTA NA KWA KAPUYA..NI BALAAH

10 years ago110 Views

Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt
Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa kaliua alipokuwa akiwahutubia
wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa
kampeni.
 PICHA NA MICHUZI JR-URAMBO,TABORA
  Wakazi wa mji wa Kaliua wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.
 Mgombea
Urais wa CCM Dkt Magufuli akimkabidhi Ilani ya CCM Mgombea Ubunge wa
jimbo la Kaliua kupitia chama cha CCM Prof.Juma Kapuya
  Mgombea
Urais wa CCM Dkt Magufuli akisalimiana na Mgombea Ubunge wa jimbo la
Urambo kupitia chama cha CCM,Mh.Magret Sitta,kulia kwake ni Mh.Samweli
Sitta kwa pamoja wakimkaribisha Dkt Magufuli alipowasili kwenye mkutano
wa hadhara wa kampeni mjini Urambo jioni ya leo.
 Mgombea
Urais wa CCM,Dk Magufuli ukiwasili mapema leo kwenye uwanja wa kambi ya
zamani ya Wakimbizi kutoka Burundi,Ulyankulu wilayani Kaliua kwa ajili
ya kuwahutubia wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi.
 Mgombea
Urais wa CCM,Dk Magufuli ukiwahutubia wakazi wa Ulyankulu mapema leo
kwenye uwanja wa kambi ya zamani ya Wakimbizi kutoka Burundi,katika
mkutano wa Kampeni wilayani Kaliua kwa ajili ya kuwahutubia wananchi hao
waliokuwa wamekusanyika kwa wingi.
 
Mgombea Urais wa CCM,Dk Magufuli ukiwahutubia wakazi wa Ulyankulu
mapema leo kwenye uwanja wa kambi ya zamani ya Wakimbizi kutoka
Burundi,katika mkutano wa Kampeni wilayani Kaliua kwa ajili ya
kuwahutubia wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi.
 Wakazi wa Ulyankulu wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Mgombea wa Urais wa CCM,Dkt Magufuli mapema leo mchana.
 Wakazi wa Ulyankulu wakishangilia jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea wa Urais wa CCM,Dkt Magufuli mapema leo mchana.

 Wananchi
walipokuwa wameziba barabara wakitaka kumuona Mgombea Urais wa CCM Dkt
Magufuli alipokuwa akipita kuelekea wilayani Kaliua kuwahutubia
wananchi.

 Mgombea
Ubunge wa CCM kupitia jimbo la Kaliua,Prof.Juma Kapuya akiwahutubia
wananchi katika uwanja wa Kolimba mjini Kaliuna mapema leo.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.