
Msanii wa filamu za Bongo movie Aunty Ezekiel amefunguka kuhusu mahusiano yake na Mpenzi Wake ambaye ni dancer wa WCB Moses Iyobo.
Aunty Ezekiel amefunguka na kuweka wazi kuwa amekuwa akishangazwa na tetesi zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii hivi sasa kuwa yeye ameachana na Baba watoto wake Mose Iyobo.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Aunt alisema afikiri katika dunia hii hata kama unapenda na mtu kwa kiasi gani hamuwezi kuishi bila kutokea ugomvi wowote kwa sababu wao sio malaika lakini wanapogombana wanayamaliza na maisha yanaendelea kama kawaida lakini inavyoonekana kuna watu wanataka kuona penzi lao likisambaratika kabisa.
Nafikiri wanaosema tumeachana watasubiri sana kama kugombana hakuna wanaoishi kama malaika, kwa sababu wote ni binadamu lakini hatuna ugomvi endelevu, yule ni mzazi mwenzangu na wanaosubiri tuachane tutawaacha mbali sana”.
Tetesi za Aunty Ezekiel na Mose kuachana Zilianza mara Baada ya wawili hao kutoonekana kwenye mitandao ya kijamii pamoja na zilipamba moto zaidi Baada ya Aunty kumuacha Mose Tanzania alipoenda kusheherekea birthday yake Dubai.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






