NEWS ALERT: Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Uchimbaji Visima na Ujenzi wa Mabwawa atumbuliwa

7 years ago124 Views

Waziri wa Maji Mhe. Profesa Makame Mbarawa (Mb) amefanya mabadiliko ya Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Uchimbaji Visima na Ujenzi wa Mabwawa (DDCA) kuanzia leo tarehe 08 Mei, 2019.


Kufuatia mabadiliko hayo, Mhandisi Gonsalves Rwegasira Rutakyamirwa anakuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa DDCA.

Kabla ya nafasi hiyo, Mhandisi Gonsalves (juu kulia) alikua akifanya kazi Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA), akisimamia miradi ya maji ya pembezoni.



Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Florence Lawrence, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, hatua hiyo imetengua uteuzi wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa DDCA Domina Msonge (kushoto).

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2DX3Y7p
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.