Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NIC Tanzania, Margaret Karume akiowaongoza baadhi ya wageni na wateja wa benki hiyo katika iftar iliyoandiliwa kwa ajili ya wateja wao katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam jana.
Baadhi ya wageni na wateja wa NIC Bank wakipata iftar kwa pamoja iliyoandalia na benki hiyo katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NIC Tanzania, Margaret Karume (kulia) akizungumza na wateja wa benki hiyo baada ya iftar iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wake, katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam jana.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2JJOgQL
via





