Basi LA Abiria Kampuni ya Arusha Express linalofanya safari zake Arusha, Bukoba lenye Namba za Usajili T 222 ABF limewaka moto na kuteketea sehemu kubwa ya Gari hilo, Ajali hiyo imetokea leo asubuhi eneo la kwa Kagambo Kilometa Mbili toka Stendi Bukoba. Abiria wote wamenusurika huku chanzo cha kuwaka moto kikibainishwa kuwa ni hitilafu ya Umeme kwenye gari hilo.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/30xwupH
via



