MICHEZO: Droo ya Shirikisho CAF: Simba kukutana na Uhamiaji au Bingwa wa FA Libya

Admin Updates11 months ago5 Views

 DROO YA SHIRIKISHO CAF: Simba kukutana na Uhamiaji ama Bingwa wa FA Libya

Katika droo ya Kombe la Shirikisho Afrika, Klabu ya Simba ambayo itaanzia hatua ya pili ya mtoano, imepangwa kucheza na mshindi kati ya Uhamiaji ya Zanzibar na Bingwa wa FA nchini Libya.

Coastal Union ambao wataanzia hatua ya kwanza ya mtoano, wao watacheza dhidi ya FC Bravo ya Angola na atakayefuzu atakipiga dhidi ya Fc Lupopo.

Mechi za mkondo wa kwanza wa hatua ya awali zitapigwa kati ya Agosti 16 – 18 huku marudiano yakitarajiwa kupigwa kati ya Agosti 22 – 25, 2024.

Mechi mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza zitapigwa kati ya Septemba 13-15, 2024 huku marudiano yakitarajiwa kupigwa kati ya Septemba 20-22, 2024.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.