





Baraza la kilimo Tanzania limewakutanisha wadau wa sekta binafsi katika kilimo ili kujadili mchango wao katika utekelezaji wa mpango wa kuendeleza sekta ya kilimo nchini ASDP II.
Mkutano huo wa siku moja umefanyika Mkoani Morogoro na kuhudhuliwa na wadau zaidi ya 60 wakiwemo maafisa wa Serikali, Taasisi za Kilimo na wadau wa Kilimo ambapo ulifunguliwa na Mkurugenzi Msaidizi wa sera na Mipango Wizara ya Kilimo Bw. Osward Ruboha kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2WAZ0rC
via






