Mhandisi akiwaonyesha wajumbe madarasa yaliyofanyiwa ukarabati katika Shule ya Wasichana Kondoa.
Mhandisi Mshauri wa mradi wa ukarabati wa Shule ya Wasichana Kondoa Marco Daniel akisoma taarifa ya mradi wakati wa makabidhiano ya mradi huo.
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Tija Ukondwa (wa kwanza Kushoto) akikabidhi taarifa ya makabidhiano ya mradi wa ukarabati kwa Mkuu wa Shule ya Wasichana Kondoa Frola Nussu.
Moja ya choo kilichojengwa kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum katika Shule ya Wasichana Kondoa.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2XlY9LL
via




