NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ZANZIBAR ATEMBELEA BANDA LA NMB SABASABA

6 years ago80 Views

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan (kushoto) akiwa ndani ya Banda la Benki ya NMB alipotembelea banda hilo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Sabasaba. Kulia ni Kaimu Meneja wa Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa, Bi. Saumu Mohamed Mollel akiwa na mgeni wake. 
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan akisaini kitabu cha wageni ndani ya Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa.
Kaimu Meneja wa Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa, Bi. Saumu Mohamed Mollel (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan alipotembelea Banda la NMB Sabasaba.
Wateja mbalimbali wa Benki ya NMB wakipata huduma ndani ya Banda la Benki hiyo walipotembelea Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Sabasaba.

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2YLrpck
via

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.