Kamati ya maudhui ya TCRA yafanya ziara Arusha

6 years ago89 Views

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Mhe. Richard Kwitega (Katikati) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Maudhui ya TCRA, pamoja na Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kaskazini waliomtembelea ofisini kwake, jijini Arusha leo. 
Wajumbe hao wako katika ziara ya kuvitembelea vyombo vya utangazaji vya Kanda ya Kaskazini ili kutoa elimu ya uandaaji na usimamiaji wa maudhui bora ya uchaguzi nchini. Maudhui ya Vyombo vya utangazaji ni muhimu katika kuhimiza amani na utulivu wakati wote wa kipindi cha uchaguzi. Tanzania inatazamia kufanya chaguzi za Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani.

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/32qmS16
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.