Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiwahudumia wateja waliotembelea banda la huduma za benki hiyo kwenye Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau wa Korosho uliofanyika mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki. Benki hiyo ni miongoni mwa wadau wakubwa wa zao la korosho hapa nchini ambapo imekuwa ikitoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wakulima na wafanyabaishara wa zao hilo.
Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiwahudumia wateja waliotembelea banda la huduma za benki hiyo kwenye Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau wa Korosho uliofanyika mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki. Benki hiyo ni miongoni mwa wadau wakubwa wa zao la korosho hapa nchini ambapo imekuwa ikitoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wakulima na wafanyabaishara wa zao hilo.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2NPNqFB
via