Meneja Masoko na Mahusiano ya jamii wa Benki ya Exim, Bw Abdulrahman Nkondo akichangia damu wakati wa Bonanza la kijamii linalofahamika kama Tanzania On Twitter (TOT Bonanza) lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Anaemuhudumia ni Afisa Mwandamizi kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) Bw Peter Chami.
Afisa Uhamasishaji kutoka Mpango wa Taifa wa damu Salama- Kanda ya Mashariki Bi Fatuma Mjungu (Kushoto) akimuhudumia mmoja wa washiriki wa Bonanza la kijamii linalofahamika kama Tanzania On Twitter (TOT Bonanza) Bi Irene Lyimo aliejitokeza kuchangia damu wakati wa Bonanza hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/32UDWfY
via


