Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe . Juliana Shonza (katikati) akipata maelezo ya vipodozi visivyokuwa na kemikali vilivyotengenezwa na wajasiriamali wa Tanzania wakati wa Tamasha la Urembo wa Asili lililofanyika jana Julai 27/2019 katika viwanja vya Life Park Jijini Dar es Salaam.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2Ysdefg
via

