Vodacom Tanzania Plc Yasogeza Huduma kwa Wateja wa Tandahimba na Korogwe

6 years ago74 Views

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba (mwenye suti) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Vodacom wilayani humo juzi. Kushoto kwake ni Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani wa kampuni ya Vodacom Liston Clay Chale.
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba (mwenye suti) akizungumza na wageni waalikwa na wafanyakazi wa Vodacom wilayani Tandahimba mwishoni mwa wiki. Kulia kwake ni Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani kampuni ya Vodacom Liston Clay Chale.
Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani kampuni ya Vodacom Liston Clay Chale akimuelezea Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba namna Vodacom Tanzania ilivyowekeza kufikisha huduma kwa wateja kote nchini.
Wafanyakazi wa duka la Vodacom Korogwe mjini wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya uzinduzi wa duka jipya la kisasa wilayani humo juzi
Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Kissa Kasongwa (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi duka jipya la Vodacom mjini Korogwe juzi. Kulia ni Brigita Stephen mkuu wa kanda ya kaskazini Vodacom
Wafanyakazi wa Vodacom wakiendelea na zoezi la usajili wa laini za simu kwenye uzinduzi wa duka jipya mjini Korogwe

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2CV3Hkx
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.