Wabunge wa Chama cha Mapinduzi wamepitisha jina la Mbunge wa Ilala Kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mussa Azzan maarufu ‘Zungu’ kuwania kiti cha Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Zungu amechaguliwa na Wabunge hao wa CCM kwa kura 348 ziliopigwa na kumbwaga mpinzani wake Stephen Masele aliyeambulia kura 16 huku kukiwa hakuna kura iliyoharibika.
Zungu ambaye alikuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita chini ya Tulia Ackson anatarajiwa kuwa kuwa Spika Bunge la 13 linalotarajiwa kuzinduliwa rasmi Jumanne ijayo, Novemba 11,2025.
Awali Spika Tulia ambaye alichukua fomu kuomba ridhaa kutoka Chama chake Cha Mapinduzi(CCM), kutetea kiti hiko lakini baadae alitangaza kujitoa katika kinyang’anyiro hiko siku moja kabla ya uchaguzi huo kufanyika.
Jionee Gereza Analoishi Rais wa zamani wa Ufaransa
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






