
Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini na CEO wa WCB Diamond Platnumz amevunja ukimya juu ya sakata la picha chafu za Msanii wa Bongo movie Wema Sepetu.
Mwezi uliopita Staa Wema Sepetu alipatwa na Janga la mwaka Baada ya kuvujisha picha zake za utupu kwenye mitandao ya kijamii na kuishia kuburuzwa Mahakamani ambako kesi yake inaendelea kuunguruma.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Dizzim Online, Kwa Mara ya kwanza Diamond amefunguka kuhusu sakata hilo la Wema na kuweka wazi kuwa anamheshimu na kuwa alifanya makosa Kama binadamu yoyote.
Wema ni zaidi ya Dada yangu namheshimu na kumpenda sana tulipotokaga Mimi na Wema ni mbali sana na hata Kama hatuna mahusiano lakini urafiki wetu upo na ninaami kila mwanadamu kuna vitu vinatokea ambavyo hatukupangaa vitokee kwaiyo inawezekana walikuwa wamekaa sehemu na hawakupenda vitokee lakini kwa bahati mbaya ikawa hivyo”.
Lakini pia Diamond amemshauri Wema kuwa makini na mambo Kama hayo yasijeyakatokea tena kwani kwa kufanya hivyo atakuwa anawaangusha mashabiki zake wanaompenda Lakini pia anaiangusha serikali inayomtegemea yeye kuwa kioo cha jamii.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






