Waziri Gwajima “Afunguka Mazito kuhusu Binti Aliyefanyiwa Ukatili asema Anastahili Hili”

1 year ago125 Views

 Waziri Gwajima "Binti Aliyefanyiwa Ukatili Anastahili Haki yake"

HAKI ZA BINADAMU: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Dkt. Dorothy Gwajima amesema amewasiliana na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni kuhusu tukio la Binti aliyeonekana kufanyiwa ukatili na Vijana Watano na ameahidi kulifanyia kazi

Dkt. Gwajima ametoa taarifa hiyo baada ya Wananchi kuhoji kauli ya Kamanda wa Polisi, SACP Theopista Mallya aliyesema Jeshi la Polisi limebaini waliohusika hawakutumwa na Askari na Binti aliyefanyiwa ukatili alikuwa ni “kama akijiuza”

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.