Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Mhe.Angellah J. Kairuki amesema amepokea kwa masikitiko makubwa malalamiko ya mzazi Kisaka Mtoisenga Mkazi wa Ushikola wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Tabora, kufuatia Watoto wake mapacha waliozaliwa katika Kituo cha Afya Kaliua na baada ya muda mfupi kufariki na kukutana na dosari (wameng’olewa macho, kukatwa ulimi na kuchunwa ngozi kwenye paji la uso) baada ya Wazazi kukabidhiwa miili yao mnamo tarehe 10 Mei, 2023.
Kufuatia taarifa hiyo, OR – TAMISEMI kupitia Halmashauri ya Wilaya ya
Kaliua imewasimamisha kazi Wauguzi wawili wa Kituo cha Afya Kaliua ili kupisha uchunguzi na imekabishi kwa Jeshi la Polisi suala hili ili waendelee na chunguzi wa tukio hili.
Waziri wa OR- TAMISEMI Mhe.Angellah Kairuki amendelea kuwakumbusha Wataalam katika Vituo vya kutolea huduma za Afya chini kote kuzingatia miongozo na taratibu za Kitaaluma zilizowekwa na Serikali wakati woe wanapohudumia Wananchi.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







