Muigizaji bora wa kike katika tuzo za Sinema Zetu, Flora Kiyombo amesema alikuwa
akimuhofisa sana Wema Sepetu katika kinyanganyiro hicho.
Flora amefunguka hayo kwenye Mahojiano na kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM ambapo
ameeleza kuwa hofu yake kwa Wema ni kutokana ana mashabiki wengi.
“Nilikiwa namuhofia Wema Sepetu sababu yeye ni msanii wa muda mrefu na amefanya filamu
nyingi na kingine anamashabiki wengi hivyo kwake ingekuwa rahisi kushinda sababu ya
umaarufu wake lakini nashukuru Mungu kwa kuweza kushinda Msanii bora wa kike,” amesema Flora.
Kwa upande wake Rashidi Kassim ambaye ndiye mshindi wa tuzo ya msanii bora wa kiume
amesema, ‘Mimi nilikuwa namuhofia Hemedy Phd kwa sababu ni msanii anayejulikana na yupo
kwenye filamu muda mrefu,’.
from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2E83vyu
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







