Polisi inawashikilia Waganga wa Kienyeji 45 kutoka Mkoani Simiyu na 20 kutoka Mkoani Njombe waliotiliwa shaka katika operesheni inayoendelea ya kuwasaka waliohusika na mauaji ya watoto
Mkuu wa Jeshi hilo, IGP Simon Sirro amesema “Kuna Waganga ambao si wahalifu, lakini kuna wale Waganga ambao ni wahalifu hao tunadili nao moja kwa moja na tayari tumeshakamata Waganga 65”
Aidha, ameeleza sababu za kuwapo kwa matukio ya mauaji kuwa ni ramli chonganishi, ugomvi wa familia na wivu wa mapenzi na hivyo operesheni hiyo inaendelea kupita kwa kila Mganga ili kuwakagua
Mwezi Januari mwaka huu, kuliripotiwa matukio ya utekaji na mauaji dhidi ya watoto mkoani Njombe, huku wanaotekeleza ukatili huo wakidaiwa kunyofoa baadhi ya viungo kwenye miili ya watoto wanaowaua
from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2NFQdO3
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







