Uwoya Ajutia Kuolewa na Mwanaume Asiempenda

7 years ago89 Views

Mwanadada Irene Uwoya amefunguka na kuonyesha kuwa mwenye majuto hasa kutokana na ndoa yake iliyovunjia hivi karibuni na kusema kuwa anajutia sana kuolewa na mwanaume ambae hakuwa na mapenzi naye kutoka moyoni.

Irene ambae alishapita katika ndoa mbili tofauti, hakuwahi kuonyesha kujutia au kusema maneno mabaya kuhusu ndoa yake ya mwanzo lakini amekuwa mwenye maneno mengi sana hasa baada ya kuvunjia kwa ndoa yake na Dogo janja.

Ndoa hiyo iliyowahi kuvunja rekodi ilipokuwa inafungwa na hata ilipouwa inavunjika inamfanya Irene kujutia na kusema kuwa anatamani hata kumwambia kila mwanamke kutokusuthubutu kuolewa na mwanaume ambae hayupo katika mioyo yao.

Jamani wanawake wenzangu , hakuna kitu kinauma kama kuolewa na mwanaume ambae hayuko moyoni mwako ni mateso makubwa , hii ilishanitokea na ndio maana ninawasihi, msijaribu kufanya hivyo.Ukitaka kuifurahia ndoa yako olewa na mwanaume unaempenda

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2H5XPrI
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.