Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amewataka Wataalamu wa Afya Nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa Huduma bora za Matibabu kwa Wananchi
Akiwa katika ziara Mkoani #Simiyu amesema “Wataalamu wa Afya punguzeni semina maana mmekuwa na semina nyingi hadi kusababisha Wagonjwa kukosa Huduma kwa wakati na kumekuwa na msongamano mkubwa katika vituo vya kutolea Huduma za Afya sababu ya semina.”
Aidha, ametoa rai kwa watoa Huduma Nchini kuzingatia utumiaji wa Lugha nzuri, weledi na Maadili na kuzingatia viapo vya Wataalamu wa afya wakati wa kuwahudumia Wananchi
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







