Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast, Pacome Zouzoua, amesaini mkataba mpya na klabu ya Yanga SC siku nyingi zilizopita, muda mfupi tu baada ya fainali ya Kombe la CRDB.
Kwa mujibu wa taarifa za ndani, mkataba huo wa miaka miwili ulitayarishwa na kusainiwa kipindi hicho, huku mpunga ukishalipwa rasmi fedha ambazo Zouzoua hakupoteza muda kuzitumia kujenga jumba la kifahari kwao Ivory Coast.
Kwa sasa, kinachosubiriwa ni kurejea kwake Bongo, muda wowote kuanzia sasa, ili aungane na timu katika maandalizi ya msimu mpya (Pre-season).
Kumbuka, msimu wa 2024/25 ulikuwa wa kifalme kwa Zouzoua, baada ya kutwaa tuzo ya MVP kutokana na kutikisa ligi kwa tuzo nyingi za Mchezaji Bora wa Mechi katika mizunguko mbalimbali.
Yote yamewekwa wazi Pacome Zouzoua atasalia kuitumikia Yanga SC hadi mwaka 2027. Mashabiki wa Wananchi, mna sababu ya kutabasamu!
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






