Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Darassa amefungua kwa mara ya kwanza sakata la kutumia madawa ya kulevya kwa kusema kuwa hiyo ilikuwa ni skendo tu iliyotengenezwa na watu. Darassa
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Darassa amefungua kwa mara ya kwanza sakata la kutumia madawa ya kulevya kwa kusema kuwa hiyo ilikuwa ni skendo tu iliyotengenezwa na watu. Darassa






