Felix Tshisekedi amebadili historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), akiwa Rais wa kwanza anayetoka kwenye chama cha upinzani, lakini pia Rais wa kwanza anayeachiwa madaraka kwa kushinda uchaguzi.
Felix Tshisekedi amebadili historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), akiwa Rais wa kwanza anayetoka kwenye chama cha upinzani, lakini pia Rais wa kwanza anayeachiwa madaraka kwa kushinda uchaguzi.






