Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ametumia takriban dakika tano za hotuba yake, akidokeza kile alichokiita figisu za za kisiasa kuzuia mkutano wa hadhara wa chama hicho, huku akimtaja Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Benno Malisa kuwa mmoja wa waliohusika.
Hata hivyo, alipotafutwa Dc Malisa kuzungumzia kauli hiyo alisema ameisikia na anasubiri taarifa rasmi, huku akifafanua kuwa maandamano hayo yaliruhusiwa na Rais Samia Suluhu Hassan na ndiyo maana hakuna aliyezuiwa kushiriki.
Alisema hata Naibu Waziri Mkuu, Dk Dotto Biteko kugongana nao kwenye msafara, alitumia busara katika kuwapisha njiani kutekeleza ‘4RS’ ya Rais Samia, akiahidi baada ya kupata taarifa rasmi ataielezea zaidi.
“Nimesikia ila sijapata taarifa rasmi, lakini maandamano yalifanyika na hakuna aliyezuiwa kwa sababu tayari walishapewa kibali na Rais Samia, hivyo hayo mengine tusubiri,” alisema Malisa.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







