Staa Marcus Rashford Akubali Kupunguza Mshahara Kujiunga na Barcelona

Masama BlogMICHEZOKIMATAIFAMATUKIO6 months ago183 Views

Mshambuliaji, Marcus Rashford yupo ukingoni kabisa kuhitimisha utumishi wake wa takribani miaka 20 ndani ya Manchester United baada ya kukamilika kwa nyaraka zote za dili lake la kujiunga na Mabingwa wa Laliga, Barcelona.

Nyota huyo raia wa England amekubali kupunguza mshahara wake kwa asilimia 15 ili kufanikisha kujiunga na Barcelona huku akitarajiwa kulipwa mshahara wa Euro milioni 14 kwa mwaka pamoja na bonasi.

Mashetani hao Wekundu hawatahusika kulipa mshahara as nyota huyo mwenye umri wa miaka 27 kwa kipindi chote cha mkopo huo huku mkataba huo ukiwa na kipengele cha Barca kumnunua jumla kwa ada ya Euro milioni 30.

ANGALIA HAPA NAFASI MPYA ZA KAZI ZAIDI YA 100 ZILIZOTANGAZWA LEO

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.