Mshambuliaji, Marcus Rashford yupo ukingoni kabisa kuhitimisha utumishi wake wa takribani miaka 20 ndani ya Manchester United baada ya kukamilika kwa nyaraka zote za dili lake la kujiunga na Mabingwa wa Laliga, Barcelona.
Nyota huyo raia wa England amekubali kupunguza mshahara wake kwa asilimia 15 ili kufanikisha kujiunga na Barcelona huku akitarajiwa kulipwa mshahara wa Euro milioni 14 kwa mwaka pamoja na bonasi.
Mashetani hao Wekundu hawatahusika kulipa mshahara as nyota huyo mwenye umri wa miaka 27 kwa kipindi chote cha mkopo huo huku mkataba huo ukiwa na kipengele cha Barca kumnunua jumla kwa ada ya Euro milioni 30.
ANGALIA HAPA NAFASI MPYA ZA KAZI ZAIDI YA 100 ZILIZOTANGAZWA LEO
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






