SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA JIJINI DODOMA.

Special Correspondent6 years ago6 Views

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kulia ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo
V25A2813
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kulia ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo
V25A2867
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
V25A2901
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (kulia) alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo na Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbe.
V25A2877
pika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ulioongozwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga (wa pili kushoto) walipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Msaidizi wa Gavana, Dkt. Nguling’wa Balele, Meneja Uhusiano na Itifaki Benki Kuu ya Tanzania, Ndg. Zaria Mbeo na Kaimu (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Dodoma, Ndg. Harry Mwansembo 
V25A2750
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimkaribisha Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Prof. Florens Luoga alipomtembelea leo tarehe 22 Machi, 2019 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2Y9FLTM
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.