SOMA HII TAARIFA YA KATIZO LA MAJI JIJINI DAR ES SALAAM

Admin Updates9 years ago4 Views


TAARIFA
KWA UMMA
                                                                        17/5/2016
KUZIMWA
KWA MTAMBO WA RUVU CHINI
Shirika
la Maji Safi na Majitaka Dar-es-salaam (DAWASCO),
linawatangazia  wakazi wa jiji la
Dar-es-salaam  pamoja na  Mji wa Bagamoyo kuwa Mtambo wa kuzalisha Maji
wa Ruvu Chini utazimwa kwa wastani wa Saa 10 kuanzia saa 5 asubuhi Jumanne,
Tarehe 17/05/2016.
Sababu za kuzimwa kwa
Mtambo wa Ruvu Chini ni kuzuia uvujaji uliotokea mtamboni kwenye bomba la inchi
72.
Kuzimwa
kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo katika Jiji la Dar es
salaam kukosa Maji:
MJI WA BAGAMOYO
VIJIJI VYA ZINGA, KEREGE NA MAPINGA, BUNJU, BOKO, TEGETA, KUNDUCHI, SALASALA,
JANGWANI, MBEZI BEACH NA KAWE.

Maeneo Mengine ni

MLALAKUWA, MWENGE,
MIKOCHENI, MSASANI, SINZA, KIJITONYAMA, KINONDONI, OYSTERBAY, MAGOMENI, UPANGA,
KARIAKOO, CITY CENTRE, ILALA, UBUNGO MAZIWA, KIGOGO, MBURAHATI, HOSPITALI YA
RUFAA MUHIMBILI, BUGURUNI, CHANGOMBE NA KEKO.

WANANCHI
MNASHAURIWA KUHIFADHI MAJI NA KUYATUMIA KWA MATUMIZI YA LAZIMA.

DAWASCO INAWAOMBA RADHI WANANCHI WA MAENEO HUSIKA
KWA USUMBUFU UTAKAOJITOKEZA.

Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja
022-2194800 au 0800110064 (BURE)
IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO

DAWASCO-MAKAO MAKUU
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.