
Serikali inatarajia kununua ndege kubwa ya mizigo, ili kuokoa gharama na muda wa usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nje ya nchi, zinazowakabili wamiliki wa viwanda vya kusindika minofu hiyo Kanda ya Ziwa.
Ahadi hiyo ya Serikali imetolewa Jijini Mwanza na mkurugenzi wa Shirika la ndege Tanzania (ATCL) Ladslaus Matindi, baada ya kukamilisha ziara ya kutembelea uwanja wa ndege wa Mwanza na viwanda vya kusindika minofu ya samaki vya Nature’s Fish na Omega.

Hatua ya Serikali kutaka kununua ndege hiyo imefuata, kutokana na uhaba wa ndege za usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nje ya nchi, jambo linalosababisha adha ya usafiri kwa wamiliki wa viwanda vya kusindika minofu ya samaki.
Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Emmanuel Koroso, amesema kutokana na tatizo hilo, Serikali imeanza kufanya mazungumzo na nchi mbalimbali za kigeni, ili kuruhusu usafirishaji wa mizigo kwa kutumia ndege zilizopo.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





