RC CHONGOLO atembelea Chuo cha VETA Ileje,agawa jezi na Mipira kuhamasisha Michezo

1 year ago113 Views

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel Godfrey Chongolo akiongea na wanafunzi pamoja na wanyakazi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Wilayani ileje juzi

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel Chongolo  ametembelea Chuo Cha Ufundi (VETA) Wilaya ya Ileje ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku nne wilayani hapa.

Sambamba na kuongea na wanafunzi na walimu wa chuo hicho RC Chongolo pia ametoa zawadi ya seti za jezi pamoja na mipira miwili kwa wanafunzi hao kama sehemu ya kuhamasisha michezo na umoja miongoni mwao

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi Happiness Seneda akiongea na wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo cha Ufundi VETA wilayani Ileje katika Ziara hiyo ya Mkuu wa Mkoa.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.