Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel Godfrey Chongolo akiongea na wanafunzi pamoja na wanyakazi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Wilayani ileje juzi

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel Chongolo ametembelea Chuo Cha Ufundi (VETA) Wilaya ya Ileje ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku nne wilayani hapa.
Sambamba na kuongea na wanafunzi na walimu wa chuo hicho RC Chongolo pia ametoa zawadi ya seti za jezi pamoja na mipira miwili kwa wanafunzi hao kama sehemu ya kuhamasisha michezo na umoja miongoni mwao
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi Happiness Seneda akiongea na wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo cha Ufundi VETA wilayani Ileje katika Ziara hiyo ya Mkuu wa Mkoa.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33









