Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel Chongolo
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel G. Chongolo ameshuhudia Hafla ya utiaji saini wa Mkataba wa Mradi Mkubwa Mpya wa Maji uliofanyika baina ya Mamlaka ya Maji safi na Utunzaji wa Mazingira _ Vwawa & Mlowo na Mkandarasi wa Clask Tanzania Ltd.

Mradi huu utaghalimu zaidi ya Bilioni 7.324 hadi utakapokamilika kwa kipindi cha miezi 15 tangu tarehe ya kusaini mkataba. Wanufaika wa Mradi huu ni wananchi wa Miji ya Vwawa na Mlowo wilayani Mbozi.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe Bi.Happiness Seneda naye alikuwa mmoja wa watu walioshuhudia Hafla Hiyo ya Utiaji Saini Mkataba Huo ambao unalenga kuboresha na kumaliza tatizo la maji safi mkoani Humo.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33








