Ratiba Mpya ya Treni ya SGR Tanzania – January 2026

Masama BlogKITAIFAMATUKIO2 weeks ago82 Views

Ratiba Mpya ya Treni ya SGR Tanzania – January 2026

Standard Gauge Railway (SGR) ni mfumo wa reli ya kisasa unaoendeshwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC). Kwa Mujibu wa taarifa ya ratiba hii iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa Umma wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Bw. Fredy Mwanjala inaonesha safari kuu za Dar es Salaam – Dodoma na Dodoma – Dar es Salaam, kuanzia tarehe 3 January 2026 ambazo ndizo zinazotumiwa zaidi na abiria.

Ratiba ya SGR Dar es Salaam – Dodoma

1. Treni ya Haraka (Express)

Dar es Salaam kwenda Dodoma

  • Kuondoka: Saa 06:00 asubuhi
  • Kufika Morogoro: Saa 07:40 asubuhi
  • Kufika Dodoma: Saa 09:42 asubuhi

Dodoma kwenda Dar es Salaam

  • Kuondoka: Saa 05:15 asubuhi
  • Kufika Morogoro: Saa 07:12 asubuhi
  • Kufika Dar es Salaam: Saa 08:53 asubuhi

2. Treni ya EMU (Mchongoko)

Dar es Salaam kwenda Dodoma

  • Kuondoka: Saa 08:00 asubuhi
  • Kufika Morogoro: Saa 09:25 asubuhi
  • Kuondoka Morogoro: Saa 09:30 asubuhi
  • Kufika Dodoma: Saa 11:15 asubuhi

Dodoma kwenda Dar es Salaam

  • Kuondoka: Saa 18:40 jioni
  • Kufika Morogoro: Saa 20:25 jioni
  • Kufika Dar es Salaam: Saa 21:55 jioni

3. Treni ya Kawaida (Ordinary / Standard)

Dar es Salaam kwenda Dodoma

  • Kuondoka: Saa 09:30 asubuhi
  • Kufika Dodoma: Karibu saa 13:25 mchana

Dodoma kwenda Dar es Salaam

  • Kuondoka: Saa 14:15 mchana
  • Kufika Dar es Salaam: Karibu saa 18:10 jioni

Safari za Ziada

  • Dodoma → Dar es Salaam: Saa 17:15 jioni hadi saa 21:10 usiku
  • Dar es Salaam → Dodoma: Saa 18:55 jioni hadi saa 23:01 usiku

Vituo Vikuu vya Treni ya SGR

Treni ya SGR husimama katika vituo vikuu vifuatavyo:

  • Dar es Salaam
  • Morogoro
  • Kilosa
  • Makutupora
  • Dodoma

Maelekezo Muhimu kwa Abiria

  • Fika kituoni angalau saa moja kabla ya muda wa safari
  • Nunua tiketi mapema kupitia mfumo wa TRC au moja kwa moja kituoni
  • Beba kitambulisho halali kwa ajili ya uthibitisho
  • Ratiba inaweza kubadilika kulingana na matengenezo au maelekezo ya TRC

Hitimisho

Ratiba ya Treni ya SGR Tanzania imepangwa kutoa chaguo tofauti kwa abiria kulingana na muda na aina ya safari wanayotaka. Treni za haraka, EMU na za kawaida hutoa unafuu mkubwa katika usafiri kati ya Dar es Salaam na Dodoma.

Explore National Parks In Tanzania

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.